JAPAN YATOA BILIONI 1.28 KUSAMBAZA MAJI MKOANI TABORA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

JAPAN YATOA BILIONI 1.28 KUSAMBAZA MAJI MKOANI TABORA


Waziri wa Fedha Dkt William Mgimwa (kushoto) akiongea na waandishi wa habari jana(leo) jijini Dar es salama mara baada Tanzania na Japan kusaini hati za mkataba wa Japan kusaidia shilingi bilioni 1.28 kwa ajili ya usambazaji wa maji safi na salama katika baadhi ya vijijini vya mkoa wa Tabora.Kulia ni Balozi wa Japan nchini Masaki Okada.
Waziri wa Fedha Dkt William Mgimwa (kushoto) na Balozi wa Japan nchini Masaki Okada (kulia) wakibadilishana hati za mkataba wa Japan kusaidia shilingi bilioni 1.28 kwa ajili ya usambazaji wa maji safi na salama katika baadhi ya vijijini vya mkoa wa Tabora.
Waziri wa Fedha Dkt William Mgimwa (kushoto) na Mwakilishi wa JICA nchini Yasunori Onishi (kulia) wakibadilishana hati za mkataba wa Japan kusaidia shilingi bilioni 1.28 kwa ajili ya usambazaji wa maji safi na salama katika baadhi ya vijijini vya mkoa wa Tabora.Picha na MAELEZO_ Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages