Airtel yadhamini tuzo za Mwanamakuka 2013 - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Airtel yadhamini tuzo za Mwanamakuka 2013

Mshindi wa pili wa tuzo za Mwanamakuka bi  Leila Mwambungu  (katikati) akifurahi kwa pamoja  na Afisa uhusiano wa Airtel Jane Matinde (kulia)  wakati wa kukabidhiwa   mfano wa hundi ya shillingi million tatu mara baada ya kuibuka mshindi wa pili wa  tuzo za mwanamakuka . Akishuhudia kushoto ni  Mke wa makamu wa raisi Asha Bilali na wa pili kushoto ni mwenyekiti  wa Unit of women Friends Esther Wakati.

Afisa uhusiano wa Airtel Jane Matinde(kulia) akikimkabidhi mshindi wa pili wa mwanamakuka bi  Leila Mwambungu  mfano wa hundi ya shillingi million tatu mara baada ya kuibuka mshindi wa pili wa  tuzo za mwanamakuka . wakishuhudia  kulia katikati ni mwenyekiti  wa Unit of women Friends Esther Wakati, kushoto ni  msimamizi wa mwanamakuka award Maryam Shamo akifatiwa na Mke wa makamu wa raisi Asha Bilali
Balozi mstaafu bi Mwanaidi Maajar (katikati) akitoa mkono wa shukrani kwa  Afisa Uhusiano wa Airtel  bi Jane Matinde kuishukuru Airtel Tanzania kwa kudhamini tuzo za Mwanamakuka 2013. Wakishuhudia ni  Mke wa makamu wa raisi Asha Bilali na wa pili kushoto ni mwenyekiti  wa Unit of women Friends Esther Wakati.
 Mwenyekiti wa Unit of women Friends Esther (kushoto)  akikabidhi Afisa uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde cheti cha shukrani kwa Airtel kushiriki na kudhamini tuzo za mwanamakuka kwa mwaka 2013. Akishuhudia ni mtunza fedha Mwate Madinda
 Waandaaji na wadhamini wa tuzo za mwanamakuka 2013 wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi Mke wa makamu wa raisi Asha Bilali wakati wa sherehe za tuzo hizo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages