WAFUASI WA SHEIKH PONDA WADHIBITIWA NA JESHI LA POLISI DAR - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WAFUASI WA SHEIKH PONDA WADHIBITIWA NA JESHI LA POLISI DAR

Baadhi ya waumini wa Dini ya Kiislamu wakirushwa kichura leo Katika Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Dar es Salaam walipokamatwa kwa tuhuma za kuandamana kushinikiza Sheikh Ponda aachiwe kwa dhamana.

Askari Kanzu akiwa amemkamata muumini wa Dini ya Kiislamu katika pilikapilika za kudhibiti maandamano ya kushinikiza Mahakama imuachie kwa dhamana Katibu wa Taasisi na Jumuiya za Kiislamu, Sheikh Issa Ponda, Dar es Salaam


Baadhi ya watuhumiwa wa maandamano hayo wakipandishwa kwenye gari la Polisi baada ya kukamatwa.

Mmoja wa maaskari wakifunga kamba iliwaandamanaji wasiingie Makao Makuu ya jeshi hilo,

Askari wa kudhibiti ujambazi wakiwa kwenye doria kusaidia kudhibiti maandamano.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages