Mratibu wa safari Bi. Caroline akitoa maelekezo na taratibu za safari kwa washiriki waliofuzu kuingia katika mashindano ya Guinness Football Challenge wanaotarajiwa kusafiri karibuni.
Washiriki waliofuzu kuingia katika shindano la Guinness Football Challange wakisikiliza kwa makini maelekezo na taratibu za safari kutoka kwa mratibu wa safari na meneja wa kinywaji cha Guinness





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)