STUDENT’S SPECIAL BASH YATIKISHA DAR LIVE KWA WASANII WA NGUVU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

STUDENT’S SPECIAL BASH YATIKISHA DAR LIVE KWA WASANII WA NGUVU


Fid Q na Stamina wakifanya makamuzi ya hatari jukwaani.
Dullayo akiwapelekesha puta mashabiki.
Rich Mavoko akionyesha cheche zake jukwaani.
Kala Jeremiah akiwapagawisha mashabiki waliofurika ndani ya Dar Live.

Stamina akiwatuliza mzuka mashabiki.
P Square wa Bongo (waliovaa ‘jeans’ na miwani) na madansa wao, wakilishambulia jukwaa.
Tano Bora wa shindano la The Mic King wakiwa katika picha ya pamoja.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages