Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya korosho Tanzania Mudhihili Mudhihili (kulia) akiwaandikia waandishi wa habari jina
lake wakati wa mkutano baina yao uliofanyika leo makao makuu ya bodi
hiyo jijini Dar es Salaam. Katika mkutano huo mambo mbalimbali
yaliongelewa ikiwa ni pamoja na bei ya mkulima ya kununulia korosho
msimu wa 2012/2013 kuwa shilingi 1200 kwa daraja la kwanza na 960 kwa daraja la pili.
Makamu
Mwenyekiti wa Bodi ya korosho Tanzania Mudhihili Mudhihili (kushoto)
akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo makao makuu ya bodi
hiyo jijini Dar es Salaam kuhusu bei ya mkulima ya kununulia korosho msimu wa 2012/2013 kuwa shilingi 1200 kwa daraja la kwanza na 960 kwa daraja la pili. Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa Masoko wa bodi ya Korosho Tanzania Theofora Nyoni.
Baadhi ya
waandishi wa habari waliohudhulia mkutano baina yao na bodi ya korosho
uliofanyika leo katika ofisi za bodi hiyo jijini Dar es Salaam
wakijitahidi kupata matukio muhimu ya mkutano huo. Katika mkutano huo
Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya korosho Tanzania Mudhihili Mudhihili
(hayupo pichani) alisema kuwa bei ya mkulima ya kununulia korosho msimu
wa mwaka 2012/2013 ni shilingi 1200 kwa daraja la kwanza na 960 kwa
daraja la pili.Picha na Anna Nkinda – Maelezo.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)