bondia mkongwe iraki hudu asherehekea mwanae kula Nondozzz UDOM - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

bondia mkongwe iraki hudu asherehekea mwanae kula Nondozzz UDOM


Ni juzi tu kule mjini Dodoma katika shamra shamra za mahafali ya  Chuo Kikuu cha Dodoma aka UDOM, ambapo katika baadhi ya wadau waliokula Nondozzz ni  kijana Dani Hudu. Wazazi ndugu na marafiki wa wasomi pia walishiriki katika shangwe hizo za kula Nondozzzz. Moja ya wazazi hao alikuwapo bondia mkongwe nchini Bw.Iraki Hudu ambaye ndiye baba mzazi wa dogo Daniel  Huddu ambaye kala Nondozzz ya  Geography and environmental studies chuoni hapo. Hongereni sana wasomi wa Udom na wazazi wote 

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages