ALHAJI SHABAN MINTANGA AACHIWA HURU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

ALHAJI SHABAN MINTANGA AACHIWA HURU



Alhaji Shaaban Mintanga akiwa chini ya ulinzi mkali wakati wa kesi yake.
 
Rais wa zamani wa Shirikisho la Ngumi za Radhaa Tanzania (BFT), Alhaji Shaaban Mintanga, leo ameachiwa huru baada ya kushinda kesi yake ya kukamatwa na madawa ya kulevya. Mintanga ameachiwa huru baada ya kusota rumande tangu April 4 mwaka 2008.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages