Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa Akabidhi madawati 500 kwa shule ya msingi minazi mirefu iliyopo Ukonga jijini Dar es Salaam - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa Akabidhi madawati 500 kwa shule ya msingi minazi mirefu iliyopo Ukonga jijini Dar es Salaam

 Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa akikata utepe wakati wa makabidhiano ya madawati 500 kwa shule ya msingi minazi mirefu iliyopo Ukonga jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi wa Mahusiano ya Serikari wa Kampuni ya African Barrick Gold, Emmanuel Ole-Naiko
  Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa akizungumza katika hafla hiyo.
 Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa akimkabidhi cheti Mkurugenzi wa Mahusiano ya Serikari wa Kampuni ya African Barrick Gold, Emmanuel Ole-Naiko wakati wa hafla ya kukabidhi madawati 500 katika Shule yua Msingi Minazi Mirefu iliyopo Ukonga jijini Dar es Salaam
 Waziri Mkuu mstaafu, Edward Lowassa akitizama wanafunzi wakiwa wamekalia madawatimuda mfupi baada ya kukabidhi 500 kwa shule ya msingi minazi mirefu iliyopo Ukonga jijini Dar es Salaam jana.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages