Waziri Mkuu Mizengo Pinda Azindua Mradi wa Ufugaji nyuki katika kijiji cha Nkalalo wilayani kwimba - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Waziri Mkuu Mizengo Pinda Azindua Mradi wa Ufugaji nyuki katika kijiji cha Nkalalo wilayani kwimba

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifungua mradi wa Ufugaji nyuki katika kijiji cha  Nkalalo   wilayani kwimba akiwa katika ziara ya mkoa wa Mwanza Septemba 14, 2012. Nyuma yake ni mkewe Tunu na kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Evarest Ndikilo na Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Kwimba, Suleiman Mzee.
 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na mkewe Tunuwakiwa wamevikwa mavazi ya kiongozi wa jadi wa Sungusungu katika mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri Mkuu kwenye uwanja wa mpira wa miguu wa Ngudu Septemba 14, 2012.
Baadhi ya Wananchi wa Wilaya ya Kwimba  wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa mpira wa miguu  wa Ngudu akiwa katika ziara ya mkoa wa Mwanza Septemba 14,2012.
 Baadhi ya Wananchi wa Wilaya ya Kwimba  wakimsikiliza Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipohutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa mpira wa miguu  wa Ngudu akiwa katika ziara ya mkoa wa Mwanza Septemba 14,2012.Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages