Meneja
wa kinywaji cha Valeur Brandy, Martha Bangu (kushoto) akizungumza
wakati wa uzinduzi wa kinywaji hicho baada ya kuboreshwa na katika chupa
mpya yenye muonekano wa kimataiafa. 

Meneja
Masoko Kampuni ya Konyagi, Joseph Chibehe akizungumza wakati wa
uzinduzi wa Valuer Brandy ambayo imeboresha na kuwekwa katika chupa mpya
yenye muonekano wa kimataifa.
Meneja
wa kinywaji cha Valeur Brandy, Martha Bangu (kushoto) akigonganisha
chupa ya Valuer Brandy na Meneja Masoko Kampuni ya Konyagi, Joseph
Chibehe wakati wa uzinduzi wa kinywaji hicho.
Wasanii wa komedy wakigonganisha glasi wakati wa uzinduzi kwa kinywaji cha Valuer Brandy

No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)