TUME YA MABADILIKO YA KATIBA YAZURU RUVUMA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

TUME YA MABADILIKO YA KATIBA YAZURU RUVUMA

Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu akifafanua jambo wakati alipoongea na wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba walipomtembelea ofisni kwake leo.Kulia ni Prof.Mwesiga Baregu mjumbe(mwenyekiti) na Bi Fatma Said  Mchumo (Mjumbe) na wengine kushoto  ni Katibu Tawala Mkoa Hassan Bendeyeko.
Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba wakisikiliza mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma. Kutoka kulia Ally Saleh,Al-Shymaar Kweigyir (Mb),Fatma Said Mchumo na Prof Mwesiga Baregu.Tume imeanza kazi ya kukusanya maoni katika wilaya ya Songea leo.
 
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Said Mwambungu akifurahia jambo wakati Tume ya Mabadiliko ya Katiba ikiongozwa na Prof.Mwesiga Baregu (kulia) na Bi Fatma Said Mchumo walipofika ofisi ya Mkuu wa Mkoa kusalimu. Picha .Na Revocatus KassimbaAfisa Habari Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Ruvuma.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages