Mkurugenzi
Mtendaji wa Kampuni ya Tanga Cement, Erik Westerberg (kushoto)
akikabidhi vikombe kwa Katibu Mkuu wa Chama cha Tenisi Tanzania (TTA),
Inger Njau, watakavyopewa washindi wa mashindano ya Wazi ya Tenisi ya
Kimataifa ya Simba Cement yaliyoanza jana kwenye Viwanja vya Gymkhana,
Dar es Salaam. Tanga Cement imetoa Dola za Kimarekani 14,000 kudhamini
mashindano hayo.
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)