RootsYR yasherekea mafanikio ya miaka 6 nchini Tanzania - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

RootsYR yasherekea mafanikio ya miaka 6 nchini Tanzania

CEO wa kampuni ya RootsYR Ulric Chateris akiwahutubia wageni waalikwa katika hafla ya siku ya kuzaliwa kampuni hiyo yenye kufanya shughuli za media na matangazo iliyotimiza miaka 6 hivi karibuni.
 
CEO wa RootsYR Ulric Chateris (kushoto) akiteta jambo na Mkurugenzi wa Masoko TBL Kushilla Thomas katika sherehe ya miaka 6 ya siku ya kuzaliwa RootsYR.
Baadhi ya wafanyakazi na wadau wengine wa RootsYR katika hafla hiyo.
Mkurugenzi Mkuu wa RootsYR Denise Rosiello (katikati) akiwa na designer maarufu Ally Rehmtulla na mdau kutoka TBL Bw. Arthur.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages