Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk.Salimin Amour Akabidhiwa Shahada ya Uzamini (PHD)ya Heshima ya Chuo Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Rais Mstaafu wa Zanzibar Dk.Salimin Amour Akabidhiwa Shahada ya Uzamini (PHD)ya Heshima ya Chuo Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA)

 MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Prof.Idris Ahmada Rai (kushoto) akimkabidhi shahada ya uzamivu (PHD)  ya Heshima ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar.Rais mstaafu wa awamu ya tano wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk.Salmin Amour Juma nyumbani kwake Migombani mjini Zanzibar kulia mjumbe wa Baraza la Chuo hicho Mohammed Said Dimwa
 MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) Prof.Idris Ahmada Rai (kushoto) akimkabidhi shahada ya uzamivu (PHD)  ya Heshima ya Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar.Rais mstaafu wa awamu ya tano wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk.Salmin Amour Juma nyumbani kwake Migombani mjini Zanzibar
RAIS Mstaafu wa Zanzibar, Dk.Salmin Amour Juma katikati akizungumza na Viongozi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA) mara baada ya kumkabidhi shahada ya Uzamivu (PHD) ya Heshima ya chuo hicho, kushoto Makamu Mkuu wa SUZA, Prof.Idris Ahmada Rai  na Mjumbe wa Baraza la Chuo Mohammed Said Dimwa, katika makaazi ya Rais huyo Migombani mjini Zanzibar

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages