MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar
(SUZA) Prof.Idris Ahmada Rai (kushoto) akimkabidhi shahada ya uzamivu
(PHD) ya Heshima ya Chuo Kikuu cha Taifa
cha Zanzibar.Rais mstaafu wa awamu ya tano wa Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar, Dk.Salmin Amour Juma nyumbani kwake Migombani mjini Zanzibar kulia
mjumbe wa Baraza la Chuo hicho Mohammed Said Dimwa
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Taifa cha
Zanzibar (SUZA) Prof.Idris Ahmada Rai (kushoto) akimkabidhi shahada ya uzamivu
(PHD) ya Heshima ya Chuo Kikuu cha Taifa
cha Zanzibar.Rais mstaafu wa awamu ya tano wa Serikali ya Mapinduzi ya
Zanzibar, Dk.Salmin Amour Juma nyumbani kwake Migombani mjini Zanzibar
RAIS Mstaafu wa Zanzibar, Dk.Salmin Amour Juma
katikati akizungumza na Viongozi wa Chuo Kikuu cha Taifa cha Zanzibar (SUZA)
mara baada ya kumkabidhi shahada ya Uzamivu (PHD) ya Heshima ya chuo hicho,
kushoto Makamu Mkuu wa SUZA, Prof.Idris Ahmada Rai na Mjumbe wa Baraza la Chuo Mohammed Said
Dimwa, katika makaazi ya Rais huyo Migombani mjini Zanzibar





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)