Hivi Ndivyo wananchi wanavyo Choma matail muda huu eneo la uwanja wa
Kilombero ambao uliuzwa kinyemela na sasa wananchi wamerudisha na
kulifanya soko.
Hapa Wakati wanachoma Mbao pamoja na Mataili wananchi wengine wanabomoa bomoa uzio
Muda mchache sasa Fire wamesha fika kwa ajili ya kuzima moto, wakati huo vurugu ndio zinanukia kuanza huku. Wananchi wa Arusha warejesha Kiwanja chao cha wazi kilicho kuwa kimeuzwa na kuweka soko
Umati wa watu wakiwa wanaandamana kuvunja uzio na kuweka soko mikononi mwao
Magari yakiwa yamepaki kwa usalama
ENDELEA KUFUATILIA HAPA HAPA.Endelea Kufuatilia Habari Kwa Hisani ya Blog Za Mikoa
Hapa Wakati wanachoma Mbao pamoja na Mataili wananchi wengine wanabomoa bomoa uzio
Muda mchache sasa Fire wamesha fika kwa ajili ya kuzima moto, wakati huo vurugu ndio zinanukia kuanza huku. Wananchi wa Arusha warejesha Kiwanja chao cha wazi kilicho kuwa kimeuzwa na kuweka soko
Magari yakiwa yamepaki kwa usalama
ENDELEA KUFUATILIA HAPA HAPA.Endelea Kufuatilia Habari Kwa Hisani ya Blog Za Mikoa














No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)