WANACHAMA WA SIMBA WACHANGIA SH. MILIONI 36 KUANZA UJENZI WA UWANJA WA MICHEZO BOKO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WANACHAMA WA SIMBA WACHANGIA SH. MILIONI 36 KUANZA UJENZI WA UWANJA WA MICHEZO BOKO

 Mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage, akichangisha fedha kutoka kwa wanachama wa klabu hiyo wakati wa Mkutano Mkuu wa Wanachama uliofanyika jijini Dar es Salaam jana. Jumla ya sh. milioni 36 zilipatanika kwa ajili ya mtaji wa ujenzi wa Uwanja wa michezo huko Boko nje kidogo ya jijini la Dar es Salaam.
Kocha wa Mkuu wa Simba, Milovan Cirkovi, akizungumza mbele ya wanachama wa Simba, wakati wa mkutano wa Klabu hiyo.
 Baadhi ya wanachama wa simba wakiwa katika mkutano huo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages