Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK. Ali Mohamed Shein,
akifuatana na Balozi wa Korea nchini Tanzania, Kim Young Hoon, alipofika
kumuaga Rais, Ikulu mjini Zanzibar.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK. Ali Mohamed Shein,
akifuatana na Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Johnny
Flento,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana, baada ya mazungumzo yao.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK. Ali Mohamed
Shein,akisalimiana na Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Johnny Flento,
alipofika Ikulu mjini Zanzibar jana, kwa mazungumzo na Rais
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK. Ali Mohamed Shein,
akizungumza na Balozi wa Denmark nchini Tanzania, Johnny Flento,
alipofika Ikulu mjini Zanzibar jana, kwa mazungumzo na Rais
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed
Shein,akisalimiana na Balozi wa Korea Nchini Tanzania, Kim Young
Hoon,alipofika kumuaga Rais,katika ukumbi wa Ikulu Mjini Zanzibar jana
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK. Ali Mohamed Shein,
akizungumza na Balozi wa Korea nchini Tanzania, Kim Young Hoon,
alipofika kumuaga Rais, Ikulu mjini Zanzibar jana.Picha na Ramadhan Othman, Ikulu-Zanzibar
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)