Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi
ya Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), ambaye pia ni Waziri Mkuu mstaafu,
Cleopa Msuya (kulia) akifafanua jambo wakati wa Mkutano Mkuu wa 39 wa
Wanahisa kwenye Hoteli ya Kilimanjaro Hyatt Regency, Dar es Salaam jana.
Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Uhusiano na Sheria, Steve Kilindo
pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Robin Goetzsche.
-





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)