MARYROSE KAJINGE ACHUKUA FOMU KWAAJILI YA KUWANIA NAFASI YA UWENYEKITI WA UMOJA WA WANAWAKE CCM (UWT) TAIFA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MARYROSE KAJINGE ACHUKUA FOMU KWAAJILI YA KUWANIA NAFASI YA UWENYEKITI WA UMOJA WA WANAWAKE CCM (UWT) TAIFA

 Mayrose Kavura Majinge akisalimiana na mkurugenzi wa sheria wa CCM ndg Ruoga mara baada ya kuchukua fomu ya mwenyekiti wa UWT ngazi ya taifa.
 Mayrose Kavura Majinge (katikati),akiwa katika picha ya pamoja na mumewe ndg Joseph Kusaga Majinge nje ya jengo la CCM makao makuu Dodoma mara tu baada ya kuchukua fomu ya mwenyekiti jumuiya ya wanawake wa CCM (UWT) ngazi ya taifa
 Mayrose Kavura Majinge akiwa katika picha ya pamoja na mkurugenzi wa sheria wa CCM ndg Ruoga mara baada ya kuchukua fomu ya mwenyekiti wa UWT ngazi ya taifa katika makao makuu ya CCM Mkoani Dodoma
 Mayrose Kavura Majinge (Mwenye nguo ya Rangi ya Kijani) akiongea na wandishi wa habari mara tu baada ya kuchukua fomu makao makuu ya CCM Mkoani Dodoma

Aliyekuwa mtangazaji wa Kipindi Cha Mayrose talk show kilichokuwa kikirushwa na Kituo Cha Television Cha Star tv Mayrose Kavura Majinge amejitosa katika kinyang'anyiro cha Kuwania Uwenyekiti wa Umoja wa Wanawake wa CCM (UWT) mara baada ya kwenda kuchukua fomu rasmi ya kugombea uwenyekiti wa Umoja wa Wanawake(UWT) ngazi ya taifa.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages