AIRTEL YAFUTARISHA WATEJA WAKE JIJINI DAR - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

AIRTEL YAFUTARISHA WATEJA WAKE JIJINI DAR

  Mkurugenzi  Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sam Elangalloor (wa pilikushoto) akichukua chakula pamoja na baadhi ya wateja wao wa makampuni katika hafla ya futari waliyowaandalia katika Hoteli ya Serena, Dar es Salaam jana.
  Ofisa Uhusiano wa Airtel Tanzania, Dangio Kaniki (kulia) akimwekea chakula mmoja wa wa teja wao katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Airtel kwa wateja wao wa makampuni katika Hoteli ya
Serena, Dar es Salaam jana.
 Baadhi ya wateja wa Airtel wakipakua mlo wa futari katika hafla hiyo iliyoandaliwa na Airtel katika Hoteli ya Serena, Dar es Salaam  jana.
Ofisa Mauzo wa Wateja Wakubwa wa Airtel Tanzania, Mariam Ikoa (kushoto) akimkabidhi zawadi Kamanda wa Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam, Suleiman Kova katika hafla ya futari iliyoandaliwa  na Airtel kwa wateja wao wa makampuni katika Hoteli ya Serena, Dar es Salaam jana. Katikati ni Mkurugenzi wa Matawi na Utawala wa Shirika la Nyumba (NHC) Raymond Mndolwa na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel, Sam Elangallor.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages