MH ZITTO KABWE ATEMBELEA BANDA LA PPF NDANI YA VIWANJA VYA SABASABA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MH ZITTO KABWE ATEMBELEA BANDA LA PPF NDANI YA VIWANJA VYA SABASABA

 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,William Erio (kulia) akizungumza na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zito Kabwe (kushoto), Alipotembelea banda hilo kwenye Maonyesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa Uwanja wa Sabasaba Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,William Erio (kulia) akizungumza na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zito Kabwe (kushoto), Alipotembelea banda hilo kwenye Maonyesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa Uwanja wa Sabasaba Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,William Erio (kulia) akizungumza na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zito Kabwe (kushoto), Alipotembelea banda hilo kwenye Maonyesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa Uwanja wa Sabasaba Dar es Salaam.
  Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,William Erio (kulia) akizungumza na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zito Kabwe (kushoto), Alipotembelea banda hilo kwenye Maonyesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa Uwanja wa Sabasaba Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,William Erio (katikati) akizungumza na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zito Kabwe (kushoto), Alipotembelea banda hilo kwenye Maonyesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa Uwanja wa Sabasaba Dar es Salaam na kulia ni Meneja Mahusiano ya Umma PPF,Lulu Mengele. 
 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,William Erio (kulia) akizungumza na Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zito Kabwe, Alipotembelea banda hilo kwenye Maonyesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa Uwanja wa Sabasaba Dar es Salaam.
 Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) na Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mkoa wa Morogoro,Anthony Mraka (kulia) akioneshwa picha ya Jengo la PPF Plaza Arusha katika TV na  Meneja Mahusiano ya Umma PPF,Lulu Mengele(katikati) na Afisa UhusianoJanet Ezekiel, Alipotembelea banda hilo kwenye Maonyesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa Uwanja wa Sabasaba Dar es Salaam.
Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT) na Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mkoa wa Morogoro,Anthony Mraka (kulia) akiagwa na Meneja Masoko na Huduma kwa Wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PPF,Mbaruku Magawa (kushoto) na Meneja Mahusiano ya Umma PPF,Lulu Mengele,Alipotembelea banda hilo kwenye Maonyesho ya 36 ya Biashara ya Kimataifa Uwanja wa Sabasaba Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages