FELISTA MSOKA AAPISHWA RASMI KUWA WAKILI WA KUJITEGEMEA NA JAJI MKUU OTHMAN CHANDE - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

FELISTA MSOKA AAPISHWA RASMI KUWA WAKILI WA KUJITEGEMEA NA JAJI MKUU OTHMAN CHANDE

Wakili Felista Msoka
Wakili Felista Msoka akiwa na Mawakili wenzake siku ambayo aliapishwa kuwa Wakili wa kujitegemea.
Wakili Felista Msoka wa katikati na kushoto ni kaka yake Gilbert Msoka na kulia ni rafiki na ndugu wa karibu wa familia ya Msoka ambaye alisoma na kaka yake.
Wakili Felista Msoka akiwa na pacha wake wa kuzaliwa ambaye pia ni Wakili Bi. Yusta Msoka, kwa pamoja wakiwa na furaha kwa kuwa Mawakili.

Wakili Felista Msoka aliapishwa tarehe 6/07/2012 na Jaji Mkuu Othman Chande pamoja na mawakili wengine 286 akiwemo na Waziri wa sheria na Katiba Mh. Mathias Chikawe na kufanya idadi ya mawakili nchini kufikia 2602. 
 
Mtandao huu unapenda kumpongeza kwa mafanikio hayo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages