AZAM FC INAONGOZA 3-1 DHIDI YA TIMU YA SIMBA UWANJA WA TAIFA MUDA HUU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

AZAM FC INAONGOZA 3-1 DHIDI YA TIMU YA SIMBA UWANJA WA TAIFA MUDA HUU

Mchezaji wa timu ya Simba ya Tanzania akijaribu kuondoka na mpira kuelekea golini mwa timu ya Azam FC katika mchezo naofanyika kwenye uwanja wa taifa jioni hii ikiwa ni michuano ya Kombe la Kagame, mpaka sasa timu ya Azam FC inaongoza magoli 3-1 dhidi ya timu ya Simba  yaliyofungwa na mshabuliaji John Boko wakati lile la Simba limefungwa na Shomari Kapombe.
 Mshambuliaji wa Azam,Kipre Tchetche akiwazungusha Mabeki wa Simba katika mchezo wao unaondelea hivi sasa Uwanja wa Taifa Jijini Dar.Azam inaongoza kwa Bao 3-1.
 Mchezaji wa Timu ya Azam,Khamis Mcha (22) akipimana ubavu na Shomari Kapombe wa Simba katika mchezo wa Mashindano ya Cecafa Kagame unaoendelea hivi sasa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Mpaka sasa Azam ndio inayoongoza kwa Bao 3-1.Picha Kwa Hisani ya Full Shangwe/Michuzi Blog

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages