TASWIRA ZA UZINDUZI WA FILAMU SUPER STAR YA WEMA SEPETU - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

TASWIRA ZA UZINDUZI WA FILAMU SUPER STAR YA WEMA SEPETU

Mwigizaji Wema Sepetu akiingia ukumbini wakati wa uzinduzi wa filamu yake ya Super Star aliyoizindua kwenye hoteli ya Hyyat Kilimanjaro jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo, ikihudhuriwa na watu maarufu pamoja na wanamzuziki na waigizaji.
Wema Sepetu akipozi kwa picha mara baada ya kukaa kabla ya kuanza kuchezwa kwa Demo ya filamu hiyo usiku wa kuamkia leo kwenye hoteli ya Hyyat Kilimanjaro.
Wageni waalikwa mbalimbali wakishuhudia uzinduzi wa filamu ya Super Star iliyochezwa na mwana dada Wema Sepetu kwenye hoteli ya Hyyat Kilimanjaro
Wanamzuiki, watangazaji  pamoja na waigizaji mbalimbali wa filamu waliohudhuria katika uzinduzi huo kutoka kulia ni Charles Baba wa Mashujaa Band, Hatman, Mtangazaji Benny Kinyaiya, Mchekeshaji Steve Nyerere, Muigizaj Ramond Kigosi na Richie Mtambalike "Rich Rich" wakishoo Love.
Mwanamuziki Mwinyi ambaye ndiye aliyemvisha pete ya Uchumba Wema Sepetu katika filamu hiyo alikuwepo na yeye
Mtangazaji Dina Marios kutoka Clouds Radio wa tatu kutoka kushoto na kampani yake na wa pili kutoka kulia ni Monica wa Jose Mara.
Waigizaji mbalimbali wakiwa katika uzinduzi huo
Kundi la THT likifanya vitu vyake katika uzinduzi huo
Ankal Michuzi na maiwaifu wake kulia na rafiki yao wakipozi kwa picha
Kulia ni Asma Makau na Dina Marios wakiwa na marafiki zao katika uzinduzi huo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages