MHARIRI MKUU WA GAZETI LA JAMBO LEO WILLY EDWARD AFARIKI DUNIA GHAFLA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

MHARIRI MKUU WA GAZETI LA JAMBO LEO WILLY EDWARD AFARIKI DUNIA GHAFLA

Habari za kusikitisha kutoka Mkoani Morogoro, Mhariri Mkuu wa gazeti la JAMBO LEO, Bw. WILLIE EDWARD amefariki dunia mjini Morogoro alikokuwa akihudhuria Warsha ya Wahariri. Amefariki usingizini. Chanzo cha kifo kitatolewa na vyombo husika.

Blog hii inaungana na familia ya Marehemu, Wanahabari, Ndugu jamaa na Marafiki wote katika kuomboleza msiba huu wa mpiganaji WE.
Tutaendelea kuwapa taarifa zaidi kuhusiana na msiba huo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages