KAMPUNI YA TIGO YAZINDUA HUDUMA MPYA YA TIGO INTARNET MEGA BOKSI - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

KAMPUNI YA TIGO YAZINDUA HUDUMA MPYA YA TIGO INTARNET MEGA BOKSI

Meneja wa Operesheni za huduma za Internet Tigo Bw, Kwame Makundi (kushoto) akizungumza na waandishi wa habari leo hii katika makao makuu ya Tigo Jijini Dar es Salaam juu ya uzinduzi wa huduma mpya ya tigo inayokwenda kwa jina la 'TIGO INTERNET MEGA BOKSI' ambapo alisema kuwa wateja wa tigo wataweza kujipatia vifurushi vipya vya mtandao vinavyo endana na mahitaji yao. Makundi alisema kuwa Mteja wa Tigo ataweza kununua kifurushi cha siku, wiki, au mwezi  pamoja na kufanya uchaguzi unaoendana na  matumizi mbali mbali ya huduma za kimtandao.alielezea namna ya kupata vifurushi hivyo kuwa ni, kwa kupiga *148*01# ambapo wateja watapata fursa ya kuchagua muda wa  viofurushi wanavyovihitaji kulia ni Alice Maro afisa habari wa Tigo..
Alice Maro afisa habari wa Tigo akijibu maswali kutoka kwa waandishi wa habari alipoulizwa kuhusiana na huduma hiyo mya.
Baadhi ya waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali nchini wakifuatilia uzinduzi wa huduma hiyo.
Waandishi wa habari wakisikiliza kwa makini maelezo yaliyokuwa yakitolewa na Meneja wa Operesheni za huduma za Internet Tigo Bw, Kwame Makundi.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages