FID Q NA WASANIII KIBAO WAFUNIKA BOVU KWENYE TAMASHA LA WAJANJA WA VODACOM MKOANI MOROGORO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

FID Q NA WASANIII KIBAO WAFUNIKA BOVU KWENYE TAMASHA LA WAJANJA WA VODACOM MKOANI MOROGORO

Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Fid Q akiwapagawisha wakazi wa Morogoro kwenye Tamasha la ”WAJANJA”lililofanyika mjini Morogoro hapo jana,Tamasha hilo  linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litaendelea  katika mikoa ya Mtwara na Tanga likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe kwa shilingi facebook na twitter bure.
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ney Wamitego akiwapagawisha wakazi wa mji wa Morogoro wakati wa Tamasha la”WAJANJA”Linaloendeshwa na Vodacom Tanzania hapo jana,Tamasha hilo litaendelea kufanyika katika mikoa ya Mtwara na Tanga, likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe kwa shilingi ishirini na tano kwenda mtyandao wowote na kutumia facebook na twitter bure.
Msanii mkali aliopo kwenye chati hivi sasa Ommy Dimpoz akiwapagawisha wakazi wa mji wa Morogoro wakati wa Tamasha la”WAJANJA”Linaloendeshwa na Vodacom Tanzania hapo jana,Tamasha hilo litaendelea kufanyika katika mikoa ya Mtwara na Tanga, likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe kwa shilingi ishirini na tano kwenda mtyandao wowote na kutumia facebook na twitter bure.
 Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Shetta akisakama jukwaa kama vilivyo mjini  Morogoro wakati wa Tamasha la”WAJANJA”lililofanyika mjini humo,Tamasha hilo  linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litaendelea  katika mikoa ya Mtwara na Tanga likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe kwa shilingi ishirini na tano na kutumia facebook na twitter bure.
 Msanii wa muziki wa kizazi kipya Diamond akiwa amebebwa juujuu na madansa wake wakati akitumbwiza ishirini na tano na kutumia kwenye Tamasha la ”WAJANJA”lililofanyika mjini Morogoro hapo jana,Tamasha hilo  linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litaendelea  katika mikoa ya Mtwara na Tanga likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe kwa shilingi facebook na twitter bure.
Diamond akikata mauno kama vilivyo wakati wa Tamasha la”WAJANJA”lililofanyika mjini Morogoro hapo jana,Tamasha hilo  linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litaendelea  katika mikoa ya Mtwara na Tanga likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe kwa shilingi ishirini na tano na kutumia facebook na twitter bure.
 Msanii mahiri wa muziki wa kizazi kipya Shetta pamoja na madansa wake wakiwaburudisha wakazi wa Morogoro wakati wa Tamasha la”WAJANJA”lililofanyika mjini humo,Tamasha hilo  linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,litaendelea  katika mikoa ya Mtwara na Tanga likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe kwa shilingi ishirini na tano na kutumia facebook na twitter bure.
Umati wa wakazi wji wa Morogoro waliojitokeza katika  Tamasha la”WAJANJA”linaloendeshwa na Vodacom Tanzania,Tamasha hilo litaendelea kufanyika  katika mikoa ya Mtwara na Tanga likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe kwa shilingi ishirini na tano kwenda mtandao wowote na kutumia facebook na twitter bure.
 Mkazi wa Mjini Morogoro akichagua simu ya kununua mara alipofika katika tamasha la”WAJANJA”lililofanyika katika uwanja wa Jamhuri mjini humo,Tamasha hilo linaendeshwa na Vodacom Tanzania,na litaendelea kufanyika  katika mikoa ya Mtwara na Tanga  likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe kwa shilingi ishirini na tano kwenda mtandao wowote na kutumia facebook na twitter bure.
 Wasanii wa muziki wa kizazi kipya Ommy Dimpoz watano toka kushoto na Diamond wapili toka kulia wakiwa wamepozi kwa picha na baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania,kabla ya kupanda jukwani na kutumbwiza kwenye Tamasha la”WAJANJA”Lililoendeshwa na Vodacom Tanzania Mjini Morogoro hapo jana,Tamasha hilo litaendelea kufanyika katika mikoa ya Mtwara na Tanga, likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe kwa shilingi ishirini na tano kwenda mtyandao wowote na kutumia facebook na twitter bure.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Ney Wamitego(kushoto)akiwa amepozi kwa picha na baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania mara baada ya kutumbwiza kwenye Tamasha la”WAJANJA”Linaloendeshwa na Vodacom Tanzania Mjini Morogoro hapo jana,Tamasha hilo litafanyika  kufanyika katika mikoa ya Mtwara na Tanga, likiwa na lengo la kuwaelimisha wananchi kutumia mtandao wa kampuni hiyo kwa kuongea kwa robo shilingi na kutuma ujumbe kwa shilingi ishirini na tano kwenda mtyandao wowote na kutumia facebook na twitter bure.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages