Naibu
Katibu Mkuu akiwa pamoja na mwenyeji wake na waalikwa wengine
walioshiriki chakula cha mchana kilichoandaliwa na Balozi Daniel Bodini
wa San Marino. kutoka kushoto ni Bw. Parfait Onanga Anyanga,
Mkurugenzi katika Ofisi ya Naibu Katibu Mkuu, Balozi wa Mongolia, Bi.
Enkhtsetseg Ochir, Balozi wa Nigeria, Bibi. Joy Ogwu, Balozi Bodini,
Dkt. Asha- Rose Migiro na Bw. Vijay Nambier aliyekuwa Msimamizi Mkuu wa
Ofisi ya Katibu Mkuu na ambaye sasa ameteuliwa kuwa Mwakilishi
Maalum wa Ban Ki Moon huko Myanmar.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
Balozi wa Jamhuri ya San Marino katika Umoja wa Mataifa Amsifu Naibu Katibu Mku wa Umoja wa Mataifa Dk Asha-Rose Migiro
Balozi wa Jamhuri ya San Marino katika Umoja wa Mataifa Amsifu Naibu Katibu Mku wa Umoja wa Mataifa Dk Asha-Rose Migiro
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)