WAZIRI ABOOD AKUTANA NA MAASKOFU LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WAZIRI ABOOD AKUTANA NA MAASKOFU LEO

Waziri wa Nchi Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais Mohd Aboud Mohamed akifafanua jambo alipozungumza na Maaskofu mbalimbali kufuatia kwa matatizo yaliotokezea Zanzibar ya kuchomwa Moto kwa Makanisa mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohd Aboud Mohamed wakwanza kushoto akisalimiana na Askofu Mkuu wa Anglican Tanzania Dk Valentine Mokiwa baada ya kumaliza kwa mazungumzo yao pamoja na Maaskofu mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
Waziri wa Nchi Afisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mohd Aboud Mohamed wakwanza kushoto akisalimiana na Askofu Mkuu wa Anglican Tanzania Dk Valentine Mokiwa baada ya kumaliza kwa mazungumzo yao pamoja na Maaskofu mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.
Askofu Mkuu  wa Anglican Tanzania Dk Valentine Mokiwa akifanya mahojiano na Muandishi wa BBC kuhusiana na  matatizo yaliotokezea Zanzibar ya kuchomwa Moto kwa Makanisa mbalimbali,huko katika Ukumbi wa Afisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages