VIKUNDI VYA KUWEKA NA KUKOPA VINAVYOSAIDIWA NA TAASISI YA WAMA VYAPEWA SEMINA YA UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA WA AFYA (NHIF) - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

VIKUNDI VYA KUWEKA NA KUKOPA VINAVYOSAIDIWA NA TAASISI YA WAMA VYAPEWA SEMINA YA UMUHIMU WA KUJIUNGA NA MFUKO WA BIMA WA AFYA (NHIF)

 Tabu Likoko Mkurugenzi wa Idara ya Uwezeshaji Wanawake katika Taasisi ya (WAMA) akifungua rasmi semina ya wanawake kutoka vikundi mbalimbali vya kuweka na kukopa vinavyosimamiwa na Taasisi ya (WAMA) kuhusu huduma za Mfuko wa Bima wa Afya NHIF inayofanyika kwenye viwanja vya Taasisi ya WAMA asubuhi hii jijini Dar es salaam kutoka kulia  pichani ni Rehani Athumani Mkurugenzi mifuko ya Afya ya Jamii (CHF), Michael Mhando Mkurugenzi wa Tathmini ya Uhai wa Mfuko na Utafiti na Eugen Mikongoti Mkurugenzi wa Uendeshaji.
Eugen Mikongoti Mkurugenzi wa Uendeshaji (NHIF) akizungumza katika semina hiyo jinsi mfuko huo unavyosaidia jamii kupata matibabu, kulia ni Rehani Athumani Mkurugenzi mifuko ya Afya ya Jamii (CHF) na katikati ni Michael Mhando Mkurugenzi wa Tathmini ya Uhai wa Mfuko na Utafiti na
 Afisa wa Masoko na Elimu kwa Umma NHIF Grace Michael akifuatilia mada katika semina hiyo, kushoto ni Philomena Marijani Afisa Uraghibishi na Mawasiliano Taasisi ya (WAMA).
Rehani Athumani Mkurugenzi mifuko ya Afya ya Jamii (CHF) akitoa mada mbalimbali juu ya huduma za mfuko wa bima ya Afya, huku washiriki wa semina hiyo wakimsikiliza kwa makini, katikati ni  Michael Mhando Mkurugenzi wa Tathmini ya Uhai wa Mfuko na Utafiti na kulia Eugen Mikongoti Mkurugenzi wa Uendeshaji.
 Washiriki wa semina hiyo wakiandika mambo muhimu yaliyojadiliwa katika semina hiyo inayofanyika katika viwanja vya Taasisi ya (WAMA).
Washiriki wa semina hiyo wakiandika mambo muhimu yaliyojadiliwa katika semina hiyo inayofanyika katika viwanja vya Taasisi ya (WAMA).
Washiriki wa semina hiyo wakiandika mambo muhimu yaliyojadiliwa katika semina hiyo inayofanyika katika viwanja vya Taasisi ya (WAMA).
 Tabu Likoko Mkurugenzi wa Idara ya Uwezeshaji Wanawake katika Taasisi ya (WAMA) kulia na Philomena Marijani Afisa Uraghibishi na Mawasiliano Taasisi ya (WAMA) ambao ndiyo wenyeji wa wanasemina wakiwa katika semina hiyo.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages