KILIMANJARO PREMIUM LAGER YATOA UBANI WA MILIONI MOJA KWA MSIBA WA MAFISANGO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

KILIMANJARO PREMIUM LAGER YATOA UBANI WA MILIONI MOJA KWA MSIBA WA MAFISANGO

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe akiwafariji kina mama waombolezaji  wakati alipokwenda kuhani  msiba wa mchezaji wa Simba Sports Club, Patrick Mafisango huko Chang'ombe jijini Dar es Salaam jana. Mafisango alifariki kwa ajali ya gari alfajiri ya jana. Bia ya Kilimanjaro premium Lager, inayodhamini Simba na Yanga, imetoa ubani wa milioni moja katika msiba huo.

Meneja wa Bia ya Kilimanjaro Premium Lager, George Kavishe (kushoto), akiwa katika mazungumzo na Makamu Mwenyekiti wa Timu ya Simba, Geofrey Nyange 'Kaburu' wakati alipokwenda kuhani msiba wa mchezaji wa Simba Sports Club Patrick Mafisango huko Chang'ombe jijini Dar es Salaam jana. Mafisango alifariki kwa ajali ya gari alfajiri ya jana. Bia ya Kilimanjaro Premium Lager inayodhamini timu za Simba na Yanga imetoa ubani wa milioni moja katika msiba huo

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages