Show
ya hapa Mwanza ilifunguliwa na msanii wa taarabu Isha Mashauzi, shangwe
zilikuwa zakutosha kabisa na wapenzi wa burudani ya taarabu walipata
chakula cha ubongo.
Akafuatia msanii aliyechukuwa tuzo ya RnB anajulikana kama Ben Pol
Misago, Hellen & Dullah
Barnaba, Hellen & Sam Misago
Kaka mkubwa ndio aliyekuwa akiangalia ulinzi wa wasanii wote wakiwa salama
Ikafikia zamu ya Ommy Dimpozi kupanda kwa steji, na show ilikuwa bab kubwa
Barnaba aka Baba Steve kwa steji
Wacheza show wa msanii Diamond
Ikafika zamu ya mtoto wa Zanzibar AT kupanda kwa steji
Ikafika zamu ya msanii mwenye tuzo 3 kupanda kwa steji, hapa namzungumzia Diamond
Mtoto wa Tanga Roma ndio aliyefunga show kwa upande huu wa Mwanza.Kwa mapicha zaidi ingia hapa
BONGO STAR LINK- DJ CHOKA





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)