CHUO CHA SMMUCOS Vs MUCCOBS VYATINGA FINALI,WAKATI WAKINA DADA SINGLES MWANADADA KUTOKA CHUO CHA KCMUCO RAIA WA KIINDONESIA ATWAA UBINGWA AMBAPO PIA SINGLES WAVULANA ALPHAEL JACKSON KUTOKA CHUO CHA MUCCOBS AMEIBUKA BINGWA WAKATI MASHINDANO YA POOL HIGHER LERNING MKOANI KILIMANJARO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

CHUO CHA SMMUCOS Vs MUCCOBS VYATINGA FINALI,WAKATI WAKINA DADA SINGLES MWANADADA KUTOKA CHUO CHA KCMUCO RAIA WA KIINDONESIA ATWAA UBINGWA AMBAPO PIA SINGLES WAVULANA ALPHAEL JACKSON KUTOKA CHUO CHA MUCCOBS AMEIBUKA BINGWA WAKATI MASHINDANO YA POOL HIGHER LERNING MKOANI KILIMANJARO

Mchezaji kutoka Chuo cha KCMUCO raia wa Indonesia, Suche Athanasia akicheza wakati wa fainali wa mashindano ya Pool Higher Learning Mkoa wa Kilimanjaro dhidi ya Maryvianney Chizziel kutoka chuo cha MUCCOBS Kilimaanjaro muda mfupi uliopita ambapo Suche alishinda na kutwaa ubingwa wa Singles wanawake Higher Learning Mkoa wa Kilimanjaro
 Wachezaji wa chuo cha MUCCOBS wakiwa na furaha mara baada ya kutinga fainali
 Diwani wa Kata ya Soweto Manispaa ya Moshi, Dk.Charles Mbando akizindua rasmi mmashindano hayo kwa niaba ya Mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi, Japhari Michael
 Diwani,Dk.Charles Mbanbo akipigiwa makofi mara baada ya uzinduzi rasmi
 Wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali vya Mkoani Kilimanjaro wakimsikilizaa mgeni rasmi
Mwenyekiti wa Chama cha Pool Mkoa wa Kilimanjaro ,Christopher Shitindi akisoma risala ya ufunguzi wakati wa mashindano hayo.
 Wanafunzi wakisikiliza na kufuatilia ufunguzi huo

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages