Wachezaji wa chuo cha MUCCOBS wakiwa na furaha mara baada ya kutinga fainali
Diwani wa Kata ya Soweto Manispaa ya Moshi, Dk.Charles Mbando akizindua
rasmi mmashindano hayo kwa niaba ya Mstahiki Meya wa manispaa ya Moshi,
Japhari Michael
Diwani,Dk.Charles Mbanbo akipigiwa makofi mara baada ya uzinduzi rasmi
Wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali vya Mkoani Kilimanjaro wakimsikilizaa mgeni rasmi
Wanafunzi wakisikiliza na kufuatilia ufunguzi huo





No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)