SIMU AINA YA NOKIA ASHA YAZINDULIWA JIJINI DAR KWA KISHINDO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

SIMU AINA YA NOKIA ASHA YAZINDULIWA JIJINI DAR KWA KISHINDO

16

Meneja wa Nokia Nchini Tanzania, Samson Majwala (kushoto) akitoa zawadi ya Simu ya Nokia “Asha” kwa Dj Fetty wa Radio Cloudz wakati wa uzinduzi  wa simu ya Nokia ”Asha” 200,302,303, uliofanyika kwenye Klabu ya Billicanas Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. 
2
Wasanii wa kundi la Tanzania House of Talent (THT) wakicheza wakati wa uzinduzi wa simu ya Nokia ”Asha” 200,302,303, uliofanyika kwenye Klabu ya Billicanas Dar es Salaam mwishoni mwa wiki 
9
Balozi wa Nokia “Asha”, Rachel Samweli (katikati) akiwaelekeza wateja ubora wa simu hiyo wakati wa uzinduzi wa simu ya Nokia ”Asha” 200,302,303, uliofanyika kwenye Klabu ya Billicanas Dar es Salaam
3
THT wakicheza
10
Balozi wa Nokia “Asha”, Rachel Samweli (katikati) akiwaelekeza wateja ubora wa simu hiyo wakati wa uzinduzi wa simu ya Nokia ”Asha” 200,302,303, uliofanyika kwenye Klabu ya Billicanas Dar es Salaam 11
Balozi wa Nokia “Asha”, Abdalah Ngoma (wa pili kulia) akiwaelekeza wateja ubora wa simu hiyo wakati wa uzinduzi wa simu ya Nokia ”Asha” 200,302,303, uliofanyika kwenye Klabu ya Billicanas Dar es Salaam15
Mtangazaji na Dj wa Radio ya Cloudz fm, Fatuma Hassan(Fetty), (kulia) akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa simu ya Nokia ”Asha” 200,302,303, uliofanyika kwenye Klabu ya Billicanas Dar es Salaam .Kushoto ni Mtangazaji wa Radio ya East Afrika,Anna Peter,na mtangazaji wa Radio Cloudz, Hamis Mandi(B12 
17
  Meneja wa Nokia Nchini Tanzania, Samson Majwala (kushoto) akitoa zawadi ya Simu ya Nokia “Asha”kwa Mtangazaji wa Radio ya East Afrika,Anna Peter.18
 Wakiwa na furaha mara baada ya kupata zawadi ya simu
6
 Sasa muziki kwenda mbele
7
Wadau wakisakata rumba kwa kwenda mbele.Picha Na Michael Machellah

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages