Serikali yaweka mpango kwa sekta binafsi kusaidia kukuza uchumi - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Serikali yaweka mpango kwa sekta binafsi kusaidia kukuza uchumi

https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/?ui=2&ik=3530edf2ab&view=att&th=13679785df3510fd&attid=0.1&disp=inline&safe=1&zw&sadnir=1&saduie=AG9B_P-pMeAX8Bj6uum_JO85Z8o9&sadet=1333479178946&sads=kk-uetnlyfAWM1X-6uO_7s630qw 
Baadhi ya washiriki wa Semina ya kuwahamasisha Watanzania kubuni miradi inayokopeshwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB wakijiandikisha kushiriki semina hiyo iliyoandaliwa na Taasisi ya Sekta Binafsi nchini TPSF Jijini Dar es Salaam.
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/?ui=2&ik=3530edf2ab&view=att&th=13679785df3510fd&attid=0.2&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-pMeAX8Bj6uum_JO85Z8o9&sadet=1333479315618&sads=pj6DuXpowL8LlfVmzeje_GPQ64w 
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/?ui=2&ik=3530edf2ab&view=att&th=13679785df3510fd&attid=0.3&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-pMeAX8Bj6uum_JO85Z8o9&sadet=1333479318609&sads=AAu7jj1hL2jiSCDmx9uWfbye3Tc 
 Mwenyekiti wa Bodi wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini TPSF, SALUM SHAMTE (Katikati) akiwa na washiriki wengine wa Semina iliyoandaliwa na TPSF ili kuhamasisha  Watanzania kubuni miradi inayokopeshwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB iliyofanyika Jijini Dar es Salaam
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/?ui=2&ik=3530edf2ab&view=att&th=13679785df3510fd&attid=0.4&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-pMeAX8Bj6uum_JO85Z8o9&sadet=1333479449850&sads=C3cgT3xprcRJQdOyoEzQWtm-2hc  
Waziri wa Fedha na Uchumi MUSTAFA MKULO akisalimiana na Mwenyekiti wa Bodi wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini TPSF, SALUM SHAMTE wakati wa Semina iliyoandaliwa na TPSF ili kuhamasisha  Watanzania kubuni miradi inayokopeshwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB iliyofanyika Jijini Dar es Salaam.
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/?ui=2&ik=3530edf2ab&view=att&th=13679785df3510fd&attid=0.7&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-pMeAX8Bj6uum_JO85Z8o9&sadet=1333479549457&sads=DyxSYapxPZvASiXHh_87hHU5IyU  
Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB, TONIA KANDIERO akizungumza na washiriki wa Semina iliyoandaliwa na Taasisi ya Sekta Binafsi nchini TPSF ili kuhamasisha  Watanzania kubuni miradi inayokopeshwa na benki hiyo.
https://mail-attachment.googleusercontent.com/attachment/?ui=2&ik=3530edf2ab&view=att&th=13679785df3510fd&attid=0.8&disp=inline&safe=1&zw&saduie=AG9B_P-pMeAX8Bj6uum_JO85Z8o9&sadet=1333479637044&sads=kr8h_bxN_QAqpsv8xNccdvXvtKM 
Waziri wa Fedha na Uchumi MUSTAFA MKULO akisisitiza jambo kwa baadhi ya washiriki wa semina iliyoandaliwa na Taasisi ya Sekta Binafsi nchini TPSF ya kuhamasisha  Watanzania kubuni miradi inayokopeshwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB iliyofanyika Jijini Dar es Salaam .
 
Na Mwandishi Wetu
Serikali imesema imeweka mpango kabambe unaohusisha sekta ya umma na sekta binafsi kuweza kushirikiana ili kuweka vivutio vingi vitakavyowezesha nchi kukuza uchumi wake na wa mtu mmoja mmoja kupitia fursa mbalimbali za kiuwekezaji zilizopo.
Akizungumza kwenye semina iliyoandaliwa na Taasisi ya Sekta Binafsi nchini TPSF kwa kushirikiana na Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB yenye lengo la kuwahamasisha Watanzania kubuni miradi inayokopeshwa na benki hiyo, Waziri wa Fedha na Uchumi MUSTAFA MKULO amesema sheria inatoa fursa kwa wadau kuitumia benki hiyo.
Kwa upande wake Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi nchini  BI ESTHER MKWIZU amesema awali Watanzania walikuwa hawajui kama kuna utaratibu wa miradi ya watu binafsi kuweza kukopeshwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages