NIPO NJIANI KUREJEA DODOMA KWA MAJUKUMU MENGINE MUNGU BABA NAOMBA UTULINDE NA KUTUFIKISHA SALAMA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

NIPO NJIANI KUREJEA DODOMA KWA MAJUKUMU MENGINE MUNGU BABA NAOMBA UTULINDE NA KUTUFIKISHA SALAMA

Muda mfupi kabla sijaanza safari yangu ya kurudi Dodoma kwa majukumu ya shule na mambo mengine nikiwaa na safiri na basi la shabiby kwa usalama na uhakika wa safari yangu mengine ni majaliwa ya Mwenyezi Mungu.Eeehh Baba Uliye mbinguni tunaomba utulinde na kutufikisha salama.
Nikiwa ndani ya Basi la Shabiby tayari kwa kurejea Dododma Baada ya Sikukuu Ya Pasaka Kuisha na narejea mkoani Dodoma kwa majukumu mengine ya kazi na shule pia
Baadhi ya Abiria wakiwa ndani ya Bus la Shabiby wakiwa na furaha ya safari yao wakiwa na shabiby bus

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages