ABIRIA WAENDELEA KULA MSOTO KITUO CHA MABASI YAENDAYO MIKOANI CHA UBUNGO JIJINI DAR LEO - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

ABIRIA WAENDELEA KULA MSOTO KITUO CHA MABASI YAENDAYO MIKOANI CHA UBUNGO JIJINI DAR LEO

IMG00237-20120409-1345
Haya Abiria wakiendelea kushangaa kituo cha mabasi yaendayo mkoani mida hii katika kituo cha mabasi yaendayo mikoani cha ubungo
P1170486
Hapa abiria wakiendelea kufarijiana kwa kupeana stori za hapa na pale huku wengine wakisubiri mabasi ambayo wameshakata tiketi japokua mabasi hayo bado yapo njiani kuja jiji dar
P1170487
Huku wengine Wakiwa wamejichokea na kujipatia chakula cha mchana chini ya mti wenye kivuli safi sana
P1170481
P1170495
Abiria wakiendelea kula msoto kituo cha mabasi cha ubungo wakiwa hawana hili wala lile na wakiendelea kupigwa na jua na mvua

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages