Mwenyekiti wa Wakuu wa Majeshi ya Polisi Nchi za Mashariki mwa Africa Ambaye Pia ni Inspekta Jenerali wa Polisi Rwanda Atembelea Tanzania Nakutana na Maofisa Wakuu wa Jeshi la Polisi Tanzania - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Mwenyekiti wa Wakuu wa Majeshi ya Polisi Nchi za Mashariki mwa Africa Ambaye Pia ni Inspekta Jenerali wa Polisi Rwanda Atembelea Tanzania Nakutana na Maofisa Wakuu wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mwenyekiti wa Wakuu wa Majeshi ya Polisi Nchi za Mashariki mwa Africa ambaye pia ni Inspekta Jenerali wa Polisi wa Rwanda, Emmanuel Gasana (kushoto) akiongozwa leo katika Makao makuu ya Jeshi la Polisi Tanzania na Kamishna wa Operesheni, Paul Chagonja aliopo nchini katika ziara ya kufuatilia utekelezaji wa maazimio ya mkutano wa kumi na tatu wa wakuu wa Majeshi ya Polisi wa EAPCCO, mkutano uliofanyika nchini Rwanda mwezi septemba 2011. Ziara hii ni pamoja na kuimarisha ushirikiano baina ya Majeshi ya nchi za mashariki mwa Afrika. Picha Na Hassan Mndeme wa Jeshi la Polisi.
Mwenyekiti wa Wakuu wa Majeshi ya Polisi Nchi za Mashariki mwa Africa ambaye pia ni Inspekta Jenerali wa Polisi Rwanda, Emmanuel Gasana (kushoto) akionyeshwa mazingira ya Makao Makuu ya Jeshi la Polisi Tanzania na Kamishna wa Operesheni, Paul Chagonja leo jijini Dar es Salaam. IGP wa Rwanda yupo katika ziara ya kufuatilia utekelezaji wa maazimio ya mkutano wa kumi na tatu wa wakuu wa Majeshi ya Polisi wa EAPCCO, mkutano uliofanyika nchini Rwanda mwezi septemba 2011. Ziara hii ni pamoja na kuimarisha ushirikiano baina ya Majeshi ya nchi za mashariki mwa Afrika. Picha Na Hassan Mndeme wa Jeshi la Polisi.
Mwenyekiti wa Wakuu wa Majeshi ya Polisi Nchi za Mashariki mwa Africa ambaye pia ni Inspekta Jenerali wa Polisi Rwanda, Emmanuel Gasana (kushoto) akisaini kitabu cha wageni katika ofisi za wizara ya Mambo ya Ndani leo jijini Dar es Salaam aliopo nchini katika ziara ya kufuatilia utekelezaji wa maazimio ya mkutano wa kumi na tatu wa wakuu wa Majeshi ya Polisi wa EAPCCO, mkutano uliofanyika nchini Rwanda mwezi septemba 2011. Ziara hii ni pamoja na kuimarisha ushirikiano baina ya Majeshi ya nchi za mashariki mwa Afrika. Kulia ni Kamishna wa Operesheni, Paul Chagonja  Picha Na Hassan Mndeme wa Jeshi la Polisi.
Mwenyekiti wa Wakuu wa Majeshi ya Polisi Nchi za Mashariki mwa Africa ambaye pia ni Inspekta Jenerali wa Polisi Rwanda, Emmanuel Gasana (kulia) akizungumza na maofisa wakuu wa Jeshi la Polisi Tanzania leo jijini Dar es Salaam. IGP wa Rwanda yupo katika ziara ya kufuatilia utekelezaji wa maazimio ya mkutano wa kumi na tatu wa wakuu wa Majeshi ya Polisi wa EAPCCO, mkutano uliofanyika nchini Rwanda mwezi septemba 2011. Ziara hii ni pamoja na kuimarisha ushirikiano baina ya Majeshi ya nchi za mashariki mwa Afrika. Picha Na Hassan Mndeme wa Jeshi la Polisi.
Mwenyekiti wa Wakuu wa Majeshi ya Polisi Nchi za Mashariki mwa Africa ambaye pia ni Inspekta Jenerali wa Polisi Rwanda, Emmanuel Gasana (kulia) akizungumza na maofisa wakuu wa Jeshi la Polisi Tanzania leo jijini Dar es Salaam. IGP wa Rwanda yupo katika ziara ya kufuatilia utekelezaji wa maazimio ya mkutano wa kumi na tatu wa wakuu wa Majeshi ya Polisi wa EAPCCO, mkutano uliofanyika nchini Rwanda mwezi septemba 2011. Ziara hii ni pamoja na kuimarisha ushirikiano baina ya Majeshi ya nchi za mashariki mwa Afrika.Picha na Hassan Mndeme wa Jeshi la Polisi.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages