Askari
Polisi wa Kituo Kikuu cha Morogoro, wakimrejesha mahakamani mtuhumiwa
aliyetambuliwa kwa jina moja la Linus, mkazi wa mjini hapa, baada ya
kukamatwa na wananchi akitimua mbio kutoka kortini muda mfupi kabla ya
kuanza kwa kesi yake na wenzake ya wizi wa pikipiki katika Mahakama ya
Hakimu Mkazi Mkoa wa Morogoro. (Picha na John Nditi).
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
MTUHUMIWA AKIRUDISHA MAHAKAMANI MARA BAADA YA KUTOROKA
MTUHUMIWA AKIRUDISHA MAHAKAMANI MARA BAADA YA KUTOROKA
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)