Home
Unlabelled
Iddi Seif Sandaly Rais Mpya Wa Chama Cha Watanzania DMV
Iddi Seif Sandaly Rais Mpya Wa Chama Cha Watanzania DMV
Iddi
Seif Sandaly ndiye rais mpya aliyechaguliwa kwenye mkutano wa uchaguzi
wa Watanzania DMV uliofanyika katika ukumbi wa Mirage, Iddi Seif
Sandaly alishinda kwa kura 205.
Jacop
Kinyemi aliyekuwa kwenye kinyang'anyiro cha Ukatibu Mkuu na kuwa wa
pili kwa kura 82, Amos Cherehani ndiye aliyeshinda Ukatibu Mkuu kwa
kura 192 na Rhoda Kasamba kwenye nafasi ya Ukatibu Mkuu alipata kura 40.
Loveness
Edwin Mamuya ambaye alikuwa mgombea wa Urais kwenye mkutano wa uchaguzi
uliofanyika Jumapili Aprili 15, 2012 na kupata kura 119.
Mselem
(kushoto) na Dr. Mwamoyo Hamza, Kamati ya Kurekebisha Katiba ambayo pia
ilisimamia uchaguzi wakitayarisha vitendea kazi na kuweka mambo sawa
kabla ya upigaji kura.
Mgombea Uraisi Loveness Mamuya (kati) akifuatilia mkutano wa uchaguzi
Maafisa Ubalozi wakifuatilia uchaguzi huo.
Watanzania wa DMV wakiwa mkutanoni.
Watanzania
wa DMV ambao Jumapili Aprili 15, 2012 walifika kwa wingi na kuandika
historia mpya kwa kuwachagua viongozi watakaoongoza Jumuiya DMV ambayo
ilikuwa inalegalega tangia 2007.
Mgombea wa Urais Iddi Sandaly (kati) akifuatilia mkutano wa uchaguzi.
Wajumbe
wa Bodi ambao wote walipita kwenye uchaguzi huo kutoka kushoto ni Al-
Amini Chande, Dr. Hamza Mwamoyo, Eliserena Kimolo, Grace Sebo Mgaza na
Haruni Ulotu.
Mkurugenzi Mkuu Mstaafu wa Mfuko wa Bima ya Afya ya Taifa NHIF Mzee Emannuel Humba akionyesha tuzo yake aliyopewa na mfuko huo kwa kutambua...
Contact Form
About Me
Hello, my name is Josephat Lukaza. I've 12 years in Blogging and An Award Winner for the BEST Political Blog in African Bloggers Awards in 2015 Learn More →
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)