WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA APOKEA KOMBE LA UEFA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA APOKEA KOMBE LA UEFA


Waziri Mkuu,Mizengo Pinda akiwapungua watu waliofika kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu kushuhudia wakati alipokabidhiwa kombe la UEFA jijini Dar es salaam Machi 26, 2012.
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda kwa pamoja na Meneja Mkuu wa Bia ya Heinken Afrika Mashariki Bw.KoenMorshiu's wakifunua kitambaa, kuonyesha kombe la Ulaya wakati Kampuni ya bia ya Heinken ambao ndiyo wadhamini wa kombe la Ulaya (UEFA) walipomkabidhi kombe hilo waziri mkuu leo ofisini kwake, Kampuni ya Henken pamoja na Shirikisho la mpira wa miguu la ulaya (UEFA) liko katika ziara ya kulitembeza kombe hilo katika nchi za Afrika na Amerika ya Kusini nchini Mexico na Asia nchini China na Tanzania na Kenya
Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda kwa pamoja na Meneja Mkuu wa Bia ya Heinken Afrika Mashariki Bw.KoenMorshiu's wakipiga makofi mara baada ya kufunua kitambaa kuonyesha kombe la Ulaya UEFA.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipiga picha na Kombe hilo pamoja na mawaziri wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, kulia ni Naibu Waziri wa wizara hiyo Dk Fenella Mukangara, wa pili kutoka kushoto ni Dk Emmanuel Nchini Waziri wa wizara hiyo na Makamu wa kwanza wa shirikisho la mpira miguu nchini Tanzania (TFF) Athuman Nyamlani.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages