Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stella Manyanya (wa tatu kulia) akipokea maua kutoka kwa Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya huduma za ndege za Auric Air, Deepesh Gupta baada ya kuzindua safari za kwenda Mkoani Rukwa - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stella Manyanya (wa tatu kulia) akipokea maua kutoka kwa Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya huduma za ndege za Auric Air, Deepesh Gupta baada ya kuzindua safari za kwenda Mkoani Rukwa

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stella Manyanya (wa tatu kulia) akipokea maua kutoka kwa Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya huduma za ndege za Auric Air, Deepesh Gupta baada ya kuzindua safari za kwenda Mkoani Rukwa kwa ndege katika uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam jana. Kulia kwa Manyanya ni Katibu Mkuu Menejiment ya Utumishi wa Umma, George Yambesi, Mbunge wa Sumbawanga Mjini, Aishi Hilal (wa pili kulia) na Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa, Salim Chima Mohamedi. (Picha na Robert Okanda).

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages