Mkuu wa Mkoa
wa Rukwa, Stella Manyanya (wa tatu kulia) akipokea maua kutoka kwa
Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya huduma za ndege za Auric
Air, Deepesh Gupta baada ya kuzindua safari za kwenda Mkoani Rukwa kwa
ndege katika uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) Dar es Salaam
jana. Kulia kwa Manyanya ni Katibu Mkuu Menejiment ya Utumishi wa Umma,
George Yambesi, Mbunge wa Sumbawanga Mjini, Aishi Hilal (wa pili kulia)
na Katibu Tawala wa Mkoa wa Rukwa, Salim Chima Mohamedi. (Picha na
Robert Okanda).
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Home
Unlabelled
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stella Manyanya (wa tatu kulia) akipokea maua kutoka kwa Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya huduma za ndege za Auric Air, Deepesh Gupta baada ya kuzindua safari za kwenda Mkoani Rukwa
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stella Manyanya (wa tatu kulia) akipokea maua kutoka kwa Meneja wa Maendeleo ya Biashara wa Kampuni ya huduma za ndege za Auric Air, Deepesh Gupta baada ya kuzindua safari za kwenda Mkoani Rukwa
Share This
About Josephat Lukaza
Subscribe to:Post Comments (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)