UJENZI WA BARABARA KATIKA MAKAZI YA WANAFUNZI UDOM WAENDELEA - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

UJENZI WA BARABARA KATIKA MAKAZI YA WANAFUNZI UDOM WAENDELEA

Ujenzi wa barabara zilizopo katika makazi mapya ya Wanafunzi wa Kitivo Cha Sayansi ya jamii cha Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM) ukiendelea mara baada ya kumwagwa vifusi kama inavyoonekana katika picha hapo.Ujenzi huu ukiisha utawezesha kwa kiasi kikubwa sana kupunguza vumbi na kufanya barabara hizo kuwa katika pavement ambapo barabara hizo ujengwa kwa kuwekwa zege mwishoni kabisa

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages