Flora
Mbasha akiwa na Mume wake Mpenzi muda mchache kabla hawajaanza safari
ya kuelekea Marekani kwa ajili ya ziara yao ya kueneza Injili kwa njia
ya uimbaji. Akiwa anawaaga ndugu jamaa na marafiki katika Ukurasa wake wa Facebook aliandika hivi:
Wakiwa wamefika Marekani na kupokelewa na wenyeji wao
Ilikuwa ni kipindi ambacho John Gibson anaandika nyimbo ambazo Florah Mbasha atatumbuiza usiku huo









No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)