Mchezaji
wa Timu ya Simba Haruna Moshi (Boban) akichuana vikali na mchezaji wa
Kagera Sugar George Kavila wakati wa mpambano mkali wa ligi Kuu ya
Vodacom unaoganyika leo kwenye uwanja wa Taifa, wanaoshuhudia ni
wachezaji Muganyizi Martin wa Kagera Sugar kulia na Paulo Ngwali
Mpaka sasa ni mpira umekwisha na timu
ya Simba imeibuka kidedea kwa kishindilia Kagera Sugar magoli 3-1,
magoli hayo ya Simba yamefungwa na Patrick Mafisango magoli mawili kati
ya hayo moja kwa penati Huku mshabuliaji wa Simba mganda Emanuel Okwi
akiandika goli la tatu Kagera Sugar imepata goli la kufutia machzo
ambalo limefungwa na mchezaji Themi Felix.
Wachezaji wa timu ya Simba wakishagilia mara baada ya mchezaji Patrick Mafisango kuifungia timu yake goli.
Mashabiki wa Simba wakishagilia mara baada ya timu yao kupata goli la kwanza hata hivyo Kagera Sugar wamesawazisha goli hilo na kuwa 1-1 huku mpira ukiwa unaendelea.Picha/Habari Kwa Hisani Ya Full Shangwe Blogu




No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)