Semina ya Copa Coca-Cola 2012 yafanyika leo jijini Dar es salaam - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

demo-image

Semina ya Copa Coca-Cola 2012 yafanyika leo jijini Dar es salaam

DSC_3398Mkurugenzi wa Michezo katika wizara ya Habari Utamaduni na Michezo, Leonard Thadeo, akitoa hotuba ya ufunguzi wa semina elekezi ya msimu wa mashindano ya Copa Coca Cola 2012 kwa Makatibu wa vyama vya Mikoa jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni wa Rais wa Shirikisho la Soka (TFF) Athuman Nyamlani na Meneja uhusiano na Makamu Mawasiliano wa Kampuni ya Coca-Cola Kwanza,Evance Mlelwa.DSC_3382
Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka (TFF) Athuman Nyamlani,akizungumza wakati ufunguzi wa semina elekezi ya msimu wa mashindano ya Copa Coca Cola 2012 kwa Makatibu wa vyama vya Mikoa jijini Dar es Salaam jana mashindano ya Copa Coca Cola 2012 kwa Makatibu wa vyama vya Mikoa jijini Dar es Salaam jana.Katikati ni Mkurugenzi wa Michezo katika Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo Leonard Thadeo na Meneja uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Coca-Cola kwanza,Evance Mlelwa.
DSC_3363Mkurugenzi wa Ufundi na Afisa Maendeleo wa Shirikisho la Soka(TFF) Sunday Kayuni,akizungumza wakati ufunguzi wa semina elekezi ya msimu wa mashindano ya Copa Coca Cola 2012 kwa Makatibu wa vyama vya Mikoa jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Pages