Semina ya Copa Coca-Cola 2012 yafanyika leo jijini Dar es salaam - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Semina ya Copa Coca-Cola 2012 yafanyika leo jijini Dar es salaam

Mkurugenzi wa Michezo katika wizara ya Habari Utamaduni na Michezo, Leonard Thadeo, akitoa hotuba ya ufunguzi wa semina elekezi ya msimu wa mashindano ya Copa Coca Cola 2012 kwa Makatibu wa vyama vya Mikoa jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni wa Rais wa Shirikisho la Soka (TFF) Athuman Nyamlani na Meneja uhusiano na Makamu Mawasiliano wa Kampuni ya Coca-Cola Kwanza,Evance Mlelwa.
Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka (TFF) Athuman Nyamlani,akizungumza wakati ufunguzi wa semina elekezi ya msimu wa mashindano ya Copa Coca Cola 2012 kwa Makatibu wa vyama vya Mikoa jijini Dar es Salaam jana mashindano ya Copa Coca Cola 2012 kwa Makatibu wa vyama vya Mikoa jijini Dar es Salaam jana.Katikati ni Mkurugenzi wa Michezo katika Wizara ya Habari Utamaduni na Michezo Leonard Thadeo na Meneja uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Coca-Cola kwanza,Evance Mlelwa.
Mkurugenzi wa Ufundi na Afisa Maendeleo wa Shirikisho la Soka(TFF) Sunday Kayuni,akizungumza wakati ufunguzi wa semina elekezi ya msimu wa mashindano ya Copa Coca Cola 2012 kwa Makatibu wa vyama vya Mikoa jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages