Hapa
wakiwa wamepokezana nguo hiyo! hii ni aibu kwa kweli, lakini ndiyo
hali halisi ilivyokuwa katika uwanja wa Taifa ambapo hatimaye Simba
iliibuka kidedea kwa kuwafunga waarabu wa ES Setif goli 2-0 na mashabiki
wa Yanga wakaondoka uwanjani kabla ya mpira kuisha, Muhimu ni kwamba
kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe kana dhambi haya, kama ujinga haya,
kama uendawazimu haya ilimradi siku imeenda.(PICHA KWA HISNI YA http://mrokim.blogspot.com)
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Lukaza Blog is a resources blog providing high quality articles with premium topics and well drafted. The main mission of Lukaza Blog is to provide the best quality articles which are relevance, original, truth and education materials designed and perfectlly to deliver best result for your knowledge and understanding of new things.
No comments:
Post a Comment
Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)