USHABIKI NI KAZI KWELI.... - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

USHABIKI NI KAZI KWELI....

Hapa wakiwa wamepokezana nguo hiyo! hii ni aibu kwa kweli, lakini ndiyo hali halisi ilivyokuwa katika uwanja wa Taifa ambapo hatimaye Simba iliibuka kidedea kwa kuwafunga waarabu wa ES Setif goli 2-0 na mashabiki wa Yanga wakaondoka uwanjani kabla ya mpira kuisha, Muhimu ni kwamba kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe kana dhambi haya, kama ujinga haya, kama uendawazimu haya ilimradi siku imeenda.(PICHA KWA HISNI YA http://mrokim.blogspot.com)

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Pages