Rais Wa Zanzibar Dk Ali Shein Ashiriki Mazishi Ya Aliyekua Mnikulu katika Ikulu ya Zanzibar,Marehemu Shaaban Ahmada Hilika - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Rais Wa Zanzibar Dk Ali Shein Ashiriki Mazishi Ya Aliyekua Mnikulu katika Ikulu ya Zanzibar,Marehemu Shaaban Ahmada Hilika

 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohammed Shein, akijumuika na Wananchi na Waumini wa dini ya Kiislam katika mazishi ya aliyekuwa Mlukulu Shaban Ahmada Hiliki, Kijijini kwao Mfenesini Vuga Mkadani Wilaya ya Magharibui Unguja.
 Shekh.Talib Suleiman, akisoma dua baada ya kumaliza kuzika katika makaburi ya Vuga Mkadini Unguja
 Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu Hassan Khatib, akisoma risala ya Marehemu Shaban Ahmada Hilika wasifu wake wa kazi wakati wa uhai wake alivyokuwa akishirikiana na Wafanyakazi wa ngazi zote na kutowa msaada pale kunapokuwa na matatizo kwa wafanyakazi wake. 
Wananchi wakishirika katika mazishi ya Mlukulu wa Ikulu ya Zanzibar Shaban Ahmada Hilika, katika kijiji cha Vuga Mkadinim Unguja.  

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages