Rais wa Visiwa vya Bougainville Akutana na Watanzania - LUKAZA BLOG

All You Want is Here | Chochote Unachohitaji Utakipata Hapa

Habari Mpya

Rais wa Visiwa vya Bougainville Akutana na Watanzania

Mtanzania  Dr Jackson Lauwo katikakati akibadilishana mawazo na Rais wa kisiwa cha Bougainville Mr John Momis  wa kwanza kulia na Mrs Zerah Lauwo alyesima kushoto wakati walipokutana kwa Ndugu Ruger  Kahwa kwa hafla ya chakula cha jioni.
Mke wa rais wa kisiwa cha Bougainvile  Mrs Momis akikumbatiana na Mrs Doreen  Kahwa mara baada ya kupokea  zawadi ya kitenge kutoka Tanzania. Aliyesimama  kushoto ni Mrs Zerah Lauwo ambaye ni mtanzania anayeishi nchini Papua New Guinea na aliyesimama kulia ni Rais John Momis.
Mrs Doreen Kahwa (mwenye brouse ya njano) akibadilishana mawazo na  mke wa rais   wa kisiwa cha Bougainville, Mrs Momis(alishika kitenge) mara baada ya kumpa zawadi ya kitenge kutoka Tanzania. Aliyesimama katikati ni Dr Lauwo mtanzania ambaye ni mhadhiri mwandamizi katika chuo kikuu cha Papua New Guinea na Rais Momis aliyevaa shati jeupe.
Mdau  Ruger Kahwa ambaye ni mkuu wa  office  ya  United Nations Office for Coordination of Humanitarian Affairs nchini Papua New Guinea( wa pili kutoka kulia) yeye na familia  pamoja na marafiki  wakiwa na  Rais ya Kisiwa cha  Boungainville Mheshimiwa John Momis  mwenye miwani wanne kutoka kulia na mkewe wa tano kutoka kulia. Wakati Rais huyo alipomtembelea Mr Kahwa nyumbani kwake  Port  Moresby Papua New Guinea.

No comments:

Post a Comment

Tafadhari Maoni Yenye Matusi Hayatakuwa Publish Tutoe Maoni Bila Kuumiza Wala Kujeruhi Hisia Za Mtu.....@(Sponsored By Lukaza Blog)


Pages